Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 15

Yoshua 15:28-51

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29Baala, Limu, Ezemu,
30Eltoladi, Kesili, Horma,
31Ziklagi, Madimana, Sansana,
32Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera (ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37Zena, Hadasha, Migidagadi,
38Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42Libna, Etheri, Ashani,
43Ifuta, Ashina, Nezibu,
44Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50Anabu, Eshitemo, Animu,
51Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.

Read Yoshua 15Yoshua 15
Compare Yoshua 15:28-51Yoshua 15:28-51