Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.” (maana ya jina hili ni “aliyetumwa”). Basi, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona.
8Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, “Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?”
9Baadhi yao wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “La! Ila anafanana naye.” Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, “Ni mimi!”
10Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:7-10Yohana 9:7-10