Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 9:23-25 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 9:23-25 in Biblia Takatifu

23 Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”
24 Basi, wakamwita tena aliyekuwa kipofu, wakamwambia, “Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
25 Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”
Yohana 9 in Biblia Takatifu

Yohana 9:23-25 in Biblia ya Kiswahili

23 Kwa sababu hii, wazazi wake walisema, “Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.”
24 Kwa hiyo kwa mara ya pili, walimwita yule mtu aliyewahi kuwa kipofu na kumwambia, “Mpe Mungu utukufu. Tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
25 Ndipo yule mtu alijibu, “Awe ni mwenye dhambi, mimi sijui. Kitu kimoja ninachokijua: nilikuwa kipofu, na sasa ninaona.”
Yohana 9 in Biblia ya Kiswahili