Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:23-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”
24Basi, wakamwita tena aliyekuwa kipofu, wakamwambia, “Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
25Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:23-25Yohana 9:23-25