Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:20-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
21Yesu akawaambia tena, “Naenda zangu nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, ninyi hamwezi kufika.”
22Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: Niendako ninyi hamwezi kufika?”

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:20-22Yohana 8:20-22