Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:7-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:7-10 in Biblia Takatifu

7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
8 Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”
9 Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10 Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:7-10 in Biblia ya Kiswahili

7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, bali unanichukia mimi kwa sababu ninaushuhudia kuwa matendo yake ni maovu.
8 Pandeni kwenda katika sikukuu; mimi siendi katika sikukuu hii kwa sababu muda wangu haujakamilika bado.”
9 Baada ya kusema mambo hayo kwao, alibaki Galilaya.
10 Hata hivyo, ndugu zake walipokuwa wamekwenda katika sikukuu, ndipo naye alienda, siyo kwa wazi bali kwa siri.
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili