Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
8Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:7-10Yohana 7:7-10