Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:39-43

Help us?
Click on verse(s) to share them!
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”
41Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
42Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!”
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:39-43Yohana 7:39-43