Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:31-32 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:31-32 in Biblia Takatifu

31 Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, “Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?”
32 Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:31-32 in Biblia ya Kiswahili

31 Hata hivyo, wengi katika makutano walimwamini. Walisema, “Kristo atakapokuja, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”
32 Mafarisayo waliwasikia makutano wakinong'onezana mambo haya kuhusu Yesu, na wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma maafisa ili kumkamata.
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili