Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:31-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, “Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?”
32Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:31-32Yohana 7:31-32