Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:23-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:23-24 in Biblia Takatifu

23 Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:23-24 in Biblia ya Kiswahili

23 Iwapo mtu atapokea tohara katika siku ya Sabato ili kwamba sheria ya Musa isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia mimi kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa katika Sabato?
24 Msihukumu kulingana na mwonekano, bali hukumuni kwa haki.
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili