Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:23-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
24Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:23-24Yohana 7:23-24