Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 6:65-68 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 6:65-68 in Biblia Takatifu

65 Kisha akasema, “Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu.”
66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma wasiandamane naye tena.
67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”
68 Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele.
Yohana 6 in Biblia Takatifu

Yohana 6:65-68 in Biblia ya Kiswahili

65 Akawambia, ni kwa sababu hii niliwambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba.”
66 Baada ya haya wanafunzi wake wengi walirudi nyuma na hawakuambatana naye tena.
67 Yesu akawambia wale kumi na wawili, “Je na ninyi mnataka kuondoka?”
68 Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele,
Yohana 6 in Biblia ya Kiswahili