65Akawambia, ni kwa sababu hii niliwambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba.”
66Baada ya haya wanafunzi wake wengi walirudi nyuma na hawakuambatana naye tena.
67Yesu akawambia wale kumi na wawili, “Je na ninyi mnataka kuondoka?”
68Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele,