Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
10Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, “Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako.”

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:9-10Yohana 5:9-10