Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 5:45-47 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 5:45-47 in Biblia Takatifu

45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.
46 Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu.
47 Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”
Yohana 5 in Biblia Takatifu

Yohana 5:45-47 in Biblia ya Kiswahili

45 Msidhani mimi nitawashitaki mbele za Baba. Anayewashitaki ninyi ni Musa, ambaye ninyi mmeweka matumaini yenu kwake.
46 Kama mngekuwa mnamwamini Musa, mngeniamini mimi kwa sababu aliandika kuhusu habari zangu.
47 Kama hamuamini maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu.?
Yohana 5 in Biblia ya Kiswahili