Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 5:22-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 5:22-24 in Biblia Takatifu

22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,
23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.
24 “Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.
Yohana 5 in Biblia Takatifu

Yohana 5:22-24 in Biblia ya Kiswahili

22 Kwa kuwa Baba hamhukumu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote
23 ili kwamba wote wamuheshimu Mwana kama vile Mwana anavyomuheshimu Baba. Yeye asiyemuheshimu Mwana hamuheshimu Baba aliyemtuma.
24 Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.
Yohana 5 in Biblia ya Kiswahili