Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:22-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Kwa kuwa Baba hamhukumu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote
23ili kwamba wote wamuheshimu Mwana kama vile Mwana anavyomuheshimu Baba. Yeye asiyemuheshimu Mwana hamuheshimu Baba aliyemtuma.
24Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:22-24Yohana 5:22-24