Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 3:26-27 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 3:26-27 in Biblia Takatifu

26 Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, “Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea.”
27 Yohane akawaambia, “Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu.
Yohana 3 in Biblia Takatifu

Yohana 3:26-27 in Biblia ya Kiswahili

26 Wakaenda kwa Yohana wakamwambia, “Rabi, yeye uliyekuwa naye ng'ambo ya Mto Yorodani, yeye uliyeshuhudia habari zake, tazama, anabatiza na wote wanaenda wanamfuata.”
27 Yohana akajibu mtu hawezi kupokea kitu chochote isipokuwa kama amepewa kutoka mbinguni.
Yohana 3 in Biblia ya Kiswahili