Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 3

Yohana 3:17-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.
18“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
19Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.

Read Yohana 3Yohana 3
Compare Yohana 3:17-19Yohana 3:17-19