Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 2:1-3 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 2:1-3 in Biblia Takatifu

1 Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo,
2 naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.
3 Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”
Yohana 2 in Biblia Takatifu

Yohana 2:1-3 in Biblia ya Kiswahili

1 Baada ya siku tatu, kulikuwa na arusi huko Kana ya Galilaya na mama yake Yesu alikuwa huko.
2 Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa katika arusi.
3 Wakati walipoishiwa na divai, mama yake Yesu akamwambia, “Hawana divai.”
Yohana 2 in Biblia ya Kiswahili