Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 20

Yohana 20:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
2Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.”

Read Yohana 20Yohana 20
Compare Yohana 20:1-2Yohana 20:1-2