Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 19

Yohana 19:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Wao wakapaaza sauti: “Mwondoe! Mwondoe! Msulubishe!” Makuhani wakuu wakajibu, “Sisi hatuna Mfalme isipokuwa Kaisari!”
16Basi, hapo Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu.
17Naye akatoka akiwa amejichukulia msalaba wake kwenda mahali paitwapo “Fuvu la Kichwa”, (kwa Kiebrania Golgotha).

Read Yohana 19Yohana 19
Compare Yohana 19:15-17Yohana 19:15-17