Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 14

Yohana 14:5-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.

Read Yohana 14Yohana 14
Compare Yohana 14:5-6Yohana 14:5-6