Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 12:23-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 12:23-24 in Biblia Takatifu

23 Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
24 Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi.
Yohana 12 in Biblia Takatifu

Yohana 12:23-24 in Biblia ya Kiswahili

23 Yesu akawajibu akasema, “Saa imefika kwa ajili ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
24 Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi.
Yohana 12 in Biblia ya Kiswahili