Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 7

Wimbo wa Sulemani 7:7-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Urefu wako ni wa kama mti wa mtende, na maziwa yako kama vifungu vya matunda.
8Niliwaza, “Ninataka kuupanda huo mti wa mtende; nitashika matawi yake.” Maziwa yako nayawe kama vifungu vya mizabibu, na harufu ya pua yako yawe kama mapera.

Read Wimbo wa Sulemani 7Wimbo wa Sulemani 7
Compare Wimbo wa Sulemani 7:7-8Wimbo wa Sulemani 7:7-8