Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 7

Wimbo wa Sulemani 7:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Jinsi gani miguu yako ilivyo yaonekana mizuri kwenye viatu, binti wa mfalme! Mapaja yako ni kama mikufu, kama kazi ya mjenzi.
2Kitovu chako ni kama duara la bakuli; kamwe kisikose mchanganyiko wa mvinyo. Tumbo lako ni kama ngano iliyo umuka na kuzungushiwa nyinyoro.

Read Wimbo wa Sulemani 7Wimbo wa Sulemani 7
Compare Wimbo wa Sulemani 7:1-2Wimbo wa Sulemani 7:1-2