Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 5

Wimbo wa Sulemani 5:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
9Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
10Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
11Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.

Read Wimbo wa Sulemani 5Wimbo wa Sulemani 5
Compare Wimbo wa Sulemani 5:8-11Wimbo wa Sulemani 5:8-11