Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 7:8-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 7:8-12 in Biblia ya Kiswahili

8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
Mithali 7 in Biblia ya Kiswahili