8Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.