Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 3:30-34 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 3:30-34 in Biblia ya Kiswahili

30 Usishindane na mtu pasipo sababu, ikiwa hajafanya chochote kukudhuru.
31 Usimhusudu mtu jeuri au kuchagua njia zake zozote.
32 Maana mtu mjanja ni chukizo kwa Yehova, bali humleta mtu mwaminifu kwenye tumaini lake.
33 Laana ya Yehova ipo katika nyumba ya watu waovu, bali huibariki maskani ya watu wenye haki.
34 Yeye huwadhihaki wenye dhihaka, bali huwapa hisani watu wanyenyekevu.
Mithali 3 in Biblia ya Kiswahili