Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 3

Mithali 3:30-34

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Usishindane na mtu pasipo sababu, ikiwa hajafanya chochote kukudhuru.
31Usimhusudu mtu jeuri au kuchagua njia zake zozote.
32Maana mtu mjanja ni chukizo kwa Yehova, bali humleta mtu mwaminifu kwenye tumaini lake.
33Laana ya Yehova ipo katika nyumba ya watu waovu, bali huibariki maskani ya watu wenye haki.
34Yeye huwadhihaki wenye dhihaka, bali huwapa hisani watu wanyenyekevu.

Read Mithali 3Mithali 3
Compare Mithali 3:30-34Mithali 3:30-34