Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 31:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 31:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
4 Lemueli, kunywa divai, siyo kwa ajili ya wafalme, wala kwa watawala kuuliza, “kileo kikali kiko wapi?”
5 Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.
Mithali 31 in Biblia ya Kiswahili