2Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
4Lemueli, kunywa divai, siyo kwa ajili ya wafalme, wala kwa watawala kuuliza, “kileo kikali kiko wapi?”
5Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.