Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 31

Mithali 31:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Mwanangu nini? Na ni nini mwana wa tumbo langu? Na ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3Nguvu zako usiwape wanawake; au wenye kuharibu wafalme njia zako.
4Lemueli, kunywa divai, siyo kwa ajili ya wafalme, wala kwa watawala kuuliza, “kileo kikali kiko wapi?”
5Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.

Read Mithali 31Mithali 31
Compare Mithali 31:2-5Mithali 31:2-5