Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 26:17-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 26:17-24 in Biblia ya Kiswahili

17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
Mithali 26 in Biblia ya Kiswahili