Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 24:25-28 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 24:25-28 in Biblia ya Kiswahili

25 Bali wenye kuwakemea waovu watakuwa na furaha na zawadi za wema zitakuja kwao.
26 Anayetoa jibu la kweli hutoa busu kwenye midomo.
27 Andaa kazi yako ya nje, na tayarisha kila kitu kwa ajili yako mwenyewe shambani; baada ya hapo, jenga nyumba yako.
28 Usitoe ushahidi dhidi ya jirani yako bila sababu na usidanganye kwa midomo yako.
Mithali 24 in Biblia ya Kiswahili