Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 23:5-7 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 23:5-7 in Biblia ya Kiswahili

5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
Mithali 23 in Biblia ya Kiswahili