Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
6Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
7maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:5-7Mithali 23:5-7