Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 2

Mhubiri 2:22-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Kwa maana ni faida gani mtu hupata ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake kutimiza kazi zake chini ya jua?
23Kila siku kazi yake ni maumivu na masikitiko, hivyo wakati wa usiku roho yake haipumziki. Huu pia ni mvuke.

Read Mhubiri 2Mhubiri 2
Compare Mhubiri 2:22-23Mhubiri 2:22-23