Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 10

Mhubiri 10:18-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.

Read Mhubiri 10Mhubiri 10
Compare Mhubiri 10:18-19Mhubiri 10:18-19