Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 19:38-40 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 19:38-40 in Biblia Takatifu

38 Kama, basi Demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko.
39 Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.
40 Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo.”
Matendo 19 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 19:38-40 in Biblia ya Kiswahili

38 Kwa hiyo, kama Demetrio na mafundi waliopamoja naye wana mashtaka dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na maliwali wapo. Na waletwe mbele ya shauri.
39 Lakini kama wewe ukitafuta chochote kuhusu mambo mengine, yatashughurikiwa katika kikao halali.
40 Kwa kweli tuko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu ghasia siku hii. Hakuna sababu ya machafuko haya, na hatutakuwa na uwezo wa kuyaeleza.
Matendo ya Mitume 19 in Biblia ya Kiswahili