Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 19:11-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 19:11-12 in Biblia Takatifu

11 Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo.
12 Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.
Matendo 19 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 19:11-12 in Biblia ya Kiswahili

11 Mungu alikuwa akifanya matendo makuu kwa mikono ya Paulo,
12 kwamba hata wagonjwa waliponywa, na roho chafu waliwatoka, wakati walipochukua leso na nguo zilizotoka mwilini mwa Paulo.
Matendo ya Mitume 19 in Biblia ya Kiswahili