Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 12:22-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 12:22-24 in Biblia Takatifu

22 Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, “Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu.”
23 Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.
24 Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.
Matendo 12 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 12:22-24 in Biblia ya Kiswahili

22 Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
23 Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
24 Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.
Matendo ya Mitume 12 in Biblia ya Kiswahili