Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 12

Matendo ya Mitume 12:22-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
23Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
24Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.

Read Matendo ya Mitume 12Matendo ya Mitume 12
Compare Matendo ya Mitume 12:22-24Matendo ya Mitume 12:22-24