Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 11:4-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 11:4-6 in Biblia Takatifu

4 Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo:
5 “Siku moja nikiwa nasali mjini Yopa, niliona maono; niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.
6 Nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani.
Matendo 11 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 11:4-6 in Biblia ya Kiswahili

4 Lakini Petro alianza kueleza tukio kwa kina; akisema,
5 “Nilikuwa naomba katika mji wa Yafa, na nikaona maono ya chombo kikishuka chini kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni katika pembe zake zote nne. Kikashuka kwangu.
6 Nilikitazama na kufikiri juu yake. Nikaona wanyama wenye miguu minne waishio katika nchi, na wanyama wa polini na wanyama watambaao na ndege wa angani.
Matendo ya Mitume 11 in Biblia ya Kiswahili