Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 10:12-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 10:12-16 in Biblia Takatifu

12 Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani.
13 Akasikia sauti ikimwambia: “Petro, amka uchinje, ule!”
14 Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.”
15 Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
16 Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha ile shuka ikarudishwa juu mbinguni.
Matendo 10 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 10:12-16 in Biblia ya Kiswahili

12 Ndani yake kulikuwa na aina zote za wanyama wenye miguu minne na watambaao juu ya ardhi, na ndege wa angani.
13 Tena sauti ikasema kwake “Amka, Petro chinja na ule”.
14 Lakini Petro akasema “Siyo hivyo, Bwana kwa sababu sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu.
15 Lakini sauti ikaja kwake tena kwa mara ya pili “Alichokitakasa Mungu usikiite najisi wala kichafu”.
16 Hii ilitokea mara tatu, na kile chombo kikawa kimechukuliwa tena angani.
Matendo ya Mitume 10 in Biblia ya Kiswahili