Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 4

Matendo 4:29-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu.”
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.

Read Matendo 4Matendo 4
Compare Matendo 4:29-31Matendo 4:29-31