Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 2

Matendo 2:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?
9Baadhi yetu ni Waparthi, Wamedi na Waelami; wengine ni wenyeji wa Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto na Asia,
10Frugia na Pamfulia, Misri na sehemu za Libya karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma,

Read Matendo 2Matendo 2
Compare Matendo 2:8-10Matendo 2:8-10