Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 21:36-38 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 21:36-38 in Biblia Takatifu

36 Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, “Muulie mbali!”
37 Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, “Naweza kukwambia kitu?” Yule mkuu wa jeshi akamjibu, “Je unajua Kigiriki?
38 Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?”
Matendo 21 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 21:36-38 in Biblia ya Kiswahili

36 Maana umati wa watu walimfuata na waliendelea kupiga kelele, “Mwondoeni huyu!”
37 Paulo alipokuwa analetwa ndani ya ngome, alimwambia mkuu wa jeshi, “Naweza kukwambia kitu?” Yule mkuu wa jeshi akasema, “Je unaongea Kiyunani?
38 Je, wewe si yule Mmisri ambaye awali aliongoza uasi na alichukua magaidi elfu nne nyikani?”
Matendo ya Mitume 21 in Biblia ya Kiswahili