Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 21

Matendo 21:36-38

Help us?
Click on verse(s) to share them!
36Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, “Muulie mbali!”
37Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, “Naweza kukwambia kitu?” Yule mkuu wa jeshi akamjibu, “Je unajua Kigiriki?
38Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?”

Read Matendo 21Matendo 21
Compare Matendo 21:36-38Matendo 21:36-38